| Wachezaji wa timu ya Panone FC ya mkoani Kilimanjaro wakipasha misuli joto kabla ya mchezo wao wa kukamilisha ratiba dhidi ya waliokuwa mabingwa wa mkoa watetezi timu ya Machava Fc. |
| Wachezaji wa timu za Panone fc na Machava fc wakisalimiana kabla ya kuanza kwa mchezo wao wa kukamilisha ratiba. |
| Wachezaji wa Panone fc wakiomba dua kabla ya kuanza kwa mchezo. |
| Wachezaji wa timu ya Machava fc wakijadiliana jambo kabla ya kuanza kwa mchezo. |
| Waaamuzi wa mchezo huo tayari kwa kuanza pambano. |
| Benchi la ufundi lilikuwa Busy wakati wa mapumziko kuhakikisha vijana wanatoka na ushindi |
| Machava fc kwa upande wao pia waliweka mikakati ya ushindi. |
| Mgeni rasmi katika mpambano huo afisa michezo wa mkoa wa Kilimanjaro Anthony Ishumi akzungumza na timu zote mbili wakati wa mapumziko |
| Vijana wakambana kufa na kupona. |
| Hadi dakika 90 za mwamuzi Nathan zinamalizika ubao ulisomeka Panone fc 1 Machava fc 0. |
| Zikatolewa medali kwa wachezaji. |
| Wakatawazwa mabingwa wapya wa mkoa wa Kilimanjaro na kukabidhiwa kikombe cha Ubingwa. |
Na Dixon Busagaga .

No comments:
Post a Comment