Search This Blog

Friday, April 11, 2014

MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AKUTANA NA WADAU WA MICHEZO

Wadau mbalimbali wa Michezo wakiwa katika ukumbu wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro.
Viongozi wa chama cha ngumi mkoa wa Kilimanjaro (KBA)wakiongozwa na mwenyekiti wao Elikunda Kipoko(mwenye tai)
Viongozi wa chama cha mchezo wa Karate mkoa wa Kilimanjaro.
Baadhi ya wadau mchezo wa soka Abdalah Hussein,Ismail na Ally Kindoile.
Viongozi wa timu ya Panone fc ambao ni mabingwa wa mkoa wa Kilimanjaro.
Katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro Dk Issa Faisal akizungumza wakati wa kikao cha wadau wa michezo mkoa wa Kilimanjaro.
Viongozi wa chama cha riadha mkoa wa Kilimanjaro.
Viongozi wa shirikisho la filamu mkoa wa Kilimanjaro.
Mdau namba moja wa michezo mkoa wa Kilimanjaro,mkuu wa mkoa Leonidas Gama akizungumza jambo wakati wa kikao hicho.
Wadau wakifuatilia hoja mbalimbali katika mkutano huo.
Afisa utamaduni wilaya ya Mwanga Eva Ganda akitoa taarifa ya wilaya yake.
Mwenyekiti wa chama cha soka manispaa ya Moshi,Japhet Mpande akichangia hoja katika kikao hicho.
Kocha wa timu ya Kitayosce Hamad Haule akichangia jambo katika kikao hicho.
Mjumbe wa kamati ya mashindano Waziri akichangia jambo katika kikao hicho.
Kamishna wa michezo ya ligi kuu ,Kikwamba akichangia jambo katika kikao hicho.
Katibu wa chama cha soka mkoa wa Kilimanjaro(KRFA)Mohamed Musa akichangia jambo katika kikao hicho.
Mwakilishi wa vilabu manispaa ya Moshi ,Amri Kiula .
Baadhi ya wadau wa michezo.
Afisa utamaduni wilaya ya Moshi Shaban Ngume .
Baadhi ya maofisa utamaduni.
Viongozi wa timu ya Panone fc.
Wadau.
Mdau Abdalah Mtwenge akifuatilia kimya kimya hoja zilizokuwa zikitolewa katika kikao hicho.
Wajumbe wa kamati ya mashindano.
Viongozi wa timu ya Machava.
Makamu mwenyekiti wa kamati ya mashindano Darabu Darabu maarufu kama Born Leader akichangia jambo.
Wajumbe wa kamati.
Wadau wakipata chakula mara baada ya kikao kumalizika.
Born Leader akizungumza na mdau Ally Kindoile.

No comments:

Post a Comment