| Wadau mbalimbali wa Michezo wakiwa katika ukumbu wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro. |
| Viongozi wa chama cha ngumi mkoa wa Kilimanjaro (KBA)wakiongozwa na mwenyekiti wao Elikunda Kipoko(mwenye tai) |
| Viongozi wa chama cha mchezo wa Karate mkoa wa Kilimanjaro. |
| Baadhi ya wadau mchezo wa soka Abdalah Hussein,Ismail na Ally Kindoile. |
| Viongozi wa timu ya Panone fc ambao ni mabingwa wa mkoa wa Kilimanjaro. |
| Katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro Dk Issa Faisal akizungumza wakati wa kikao cha wadau wa michezo mkoa wa Kilimanjaro. |
| Viongozi wa chama cha riadha mkoa wa Kilimanjaro. |
| Viongozi wa shirikisho la filamu mkoa wa Kilimanjaro. |
| Mdau namba moja wa michezo mkoa wa Kilimanjaro,mkuu wa mkoa Leonidas Gama akizungumza jambo wakati wa kikao hicho. |
| Wadau wakifuatilia hoja mbalimbali katika mkutano huo. |
| Afisa utamaduni wilaya ya Mwanga Eva Ganda akitoa taarifa ya wilaya yake. |
| Mwenyekiti wa chama cha soka manispaa ya Moshi,Japhet Mpande akichangia hoja katika kikao hicho. |
| Kocha wa timu ya Kitayosce Hamad Haule akichangia jambo katika kikao hicho. |
| Mjumbe wa kamati ya mashindano Waziri akichangia jambo katika kikao hicho. |
| Kamishna wa michezo ya ligi kuu ,Kikwamba akichangia jambo katika kikao hicho. |
| Katibu wa chama cha soka mkoa wa Kilimanjaro(KRFA)Mohamed Musa akichangia jambo katika kikao hicho. |
| Mwakilishi wa vilabu manispaa ya Moshi ,Amri Kiula . |
| Baadhi ya wadau wa michezo. |
| Afisa utamaduni wilaya ya Moshi Shaban Ngume . |
| Baadhi ya maofisa utamaduni. |
| Viongozi wa timu ya Panone fc. |
| Wadau. |
| Mdau Abdalah Mtwenge akifuatilia kimya kimya hoja zilizokuwa zikitolewa katika kikao hicho. |
| Wajumbe wa kamati ya mashindano. |
| Viongozi wa timu ya Machava. |
| Makamu mwenyekiti wa kamati ya mashindano Darabu Darabu maarufu kama Born Leader akichangia jambo. |
| Wajumbe wa kamati. |
| Wadau wakipata chakula mara baada ya kikao kumalizika. |
| Born Leader akizungumza na mdau Ally Kindoile. |

No comments:
Post a Comment