Uongozi wa klabu ya Dar es salaam Young Africans
leo umepiga hodi visiwani Zanzibar kwa ajili ya kutoa ufafanuzi wa kina kwa
waratibu wa michuano ya Kombe la Mapinduzi baada ya kuamua kujitoa dakika za
mwisho kabla ya mashindano hayo kuanza.
Clement
Sanga makamu mwenyekiti wa Yanga amethibitisha hilo
ikiwa ni pamoja na klabu ya Yanga kutoa kiasi cha shilingi milioni 10 kwa
kamati hiyo ya maandalizi,pia Yanga imetoa ahadi ya kwenda visiwani humo
kucheza michezo ya kirafiki na pesa zote zitakazopatikana kutokana na viingilio
zitakwenda kwenye mfuko wa maandamalizi wa Kombe la Mapinduzi.
BOFYA HAPA CHINI KUMSIKILIZA SANGA.
BOFYA HAPA CHINI KUMSIKILIZA SANGA.
No comments:
Post a Comment