Search This Blog

Thursday, January 2, 2014

NAMNA 88.5 DAR ES SALAAM WALIVYOKUSANYIKA KWENYE KILELE CHA MIAKA 14 YA CLOUDS FM


DSC_0113
Leo ni ile siku ambayo ilikua ikisubiriwa kwa hamu na wakazi wa 88.5 Dar es salaam siku ya kilele cha miaka 14 ya Clouds Fm ambapo timu ya Clouds Fm ilianza sherehe hizi kwa kutembelea watu wenye matatizo mbalimbali.
DSC_0308Miongoni mwa sehemu zilizotembelewa leo ni pamoja na Hospital ya wilaya ya Temeke kisha kuelekea kwa jamaa ambaye anamiliki kituo cha kulea watu walioathirika na madawa ya kulevya kiitwacho Keko Machungwa Youth Centre ambacho kipo Keko Machungwa na mmiliki wa kituo hicho ni Yohana au Ctn kama wanavyomwita.
DSC_0047Baada ya hayo kukamilika ndipo timu ikasogea viwanja vya Mwembe Yanga ambapo umati mkubwa wa watu wa rika mbalimbali walijitokeza kufurahi pamoja na familia ya Clouds FM ambayo ilikua pale.
DSC_0295
Jukwaa lilimilikiwa na wasanii mbalimbali wa Bongo Fleva ikiwa ni pamoja na Rich Mavoko,Fid Q,Makomando,Barnaba,Linex,Chegge na Temba,Mkubwa na wanawe,Madee,Shettah na wengine kibao.
Hizi ni baadhi ya picha za kilicho-happen MwembeYanga kwenye sherehe za Miaka 14 ya Clouds Fm
DSC_0137
DSC_0321
DSC_0317
DSC_0313
DSC_0156
DSC_0151
DSC_0105
DSC_0099
DSC_0096
DSC_0130
DSC_0078
Source: millardayo.com

No comments:

Post a Comment