Search This Blog

Sunday, January 19, 2014

KIFUKWE: SERIKALI YAKWAMISHA MRADI WA UJENZI WA UWANJA!



Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini Francis Kifukwe amesema mpaka sasa bado wanafuatilia hati kwa ajili ya ujenzi wa uwanja wao na ndio sababu ya kukaa kinywa, kwani licha ya hivyo bado wanahitaji eneo la nyongeza ili kufika heka 15 wakati wao wanazo heka 3.5.
Alisema, kutokana na wao kufuatilia kwa makini Wizara ya Ardhi, Nyumba, Maendeleo na Makazi waligundua kuwepo na deni la Kodi ya Ardhi sh mil 100 na wameishafanikiwa kuzilipa mpaka sasa ambapo mpaka sasa wanasubiri Serikali ije kufanya uhakiki zaidi ili waweze kupewa hati mpya.

5 comments:

  1. Eneo lao hekari 3.5 wanahitaji 15 kwa nini wasitafute nje ya mji. Mikutano ya siasa na dini tufanyie wapi iwapo hadi vile viwanja vya wazi vimo ndani ya plan yao. Hakuna hatayekubali utatokea mgogoro mkubwa sio kila mtanzania anapenda mpira na yanga

    ReplyDelete
  2. HAPO INGEKUWA RAHISI ENEO LENU NDIO LINGEKUWA HEKARI 11.5 HALAFU MKAOMBA MUONGEZEWE HEKARI 3.5 MAANA TUJUAVYO CHA MWENYE KUHITAJI NYONGEZA HUWA NA KINGI YANI ANAKUWA KAPUNGUKIWA KIDOGO SANA ILA NYIE YANGA MNAONEKANA KAMA HAMNA KITU TU.

    ReplyDelete
  3. Kama hauna cha ku- comment bora usiandike kuliko kuandika pumba zenu hizo. Yanga endeleeni na juhudi zenu msikatishwe tamaa na walevi.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kampigie mdosi magoti kisha kalale, Viwanja vile sahauni. kikorido cha kaunda kinawatosha

      Delete
  4. Hiyo ndio sababu inayomfanya Manji aanze kuondoka mdogo mdogo kwenye mpira,alichotegemea anaona hakiwezekaniki,mhindi hafanyagi biashara kichaa,yani ateketeze hela zake hivi hivi tu,hakunaga,Hapo hata mpige magoti mnajisumbua,anamrudishie kifukwe timu yake aliyomkuta nayo apambane na kina mzimba na akilimali

    ReplyDelete