Wagosi wa
kaya Coastal Union nao wanatarajiwa kuondoka nchini Kesho kuelekea Oman kwa
ajili ya kuweka kambi ya maandalizi ya mzunguko wa pili wa ligi kuu ya Vodacom.
Akizungumza
na Sports Extra mwenyekiti wa Coastal Union Ahmed Aurora amesema kwamba wanatarajiwa kuondoka kesho mchana kwa mwaliko maalum nchini humo.
BOFYA HAPA CHINI KUMSIKILIZA AURORA
BOFYA HAPA CHINI KUMSIKILIZA AURORA
No comments:
Post a Comment