Search This Blog

Thursday, January 30, 2014

AZAM FC YAING'OA YANGA KILELENI

 Kipre Tchetche akimtoka beki wa Rhino Rangers, Laban Kambole katika mchezo wa Ligi nKuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo mkwenye Uwanja wa Chamazi. Azam imeshinda 1-0.
Kipre Tchetche  akipiga mpira uliozaa bao pekee la timu hiyo.
 Mshambuliaji wa Azam FC, Kone Mohamed (katikati), akiwania mpira huku akizongwa na beki wa Rhino Rangers.
 Mshambuliaji wa Azam FC, Kipre TcheTche akimiliki mpira huku akizongwa na beki wa timu ya Rhino Rangers, Julius Masunga katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Chamazi jijini Dar es Salaam jana. Azama ilishinda 1-0. 
 Kipre Tchetche akimshukuru Mungu baada ya kuifungia timu yake bao.
Wachezaji wa Azam Fc wakipongezana baada ya Kipre Tchetche kuipatia timu yake bao pekee.
Wachezaji wa Rhino Rangers wakitoka mapumziko.

No comments:

Post a Comment