Search This Blog

Saturday, December 21, 2013

SIMBA NDIO MTANI JEMBE - TAMBWE APIGA 2 MNYAMA AKIWAUA YANGA 3-1


16 comments:

  1. Leo yanga tuliwakamata sana kila idara

    ReplyDelete
  2. Yanga kazi kwenu sasa utacikia pia twamtaka na Tambwe,Simba wenyew hatuna neno chukueni killa mchezaji mnaemtaka lkn uwanjani mnakula kichapo tu,mpira ni uwanjani hauchezwi kwa maneno.SIMBA TAIFA KUBWA Bwana.Tambwe Tambwe Tambwe Gooooooooooooooooooooo

    ReplyDelete
  3. Acha unazi shaffih ni nani asiyejua wewe Simba damu me mwenyewe nimekuona pale k tea ukikejeli umekuja kunywa Kilimanjaro wakati pale wanauza chai tuachie Yanga yetu sisi hatushindi mechi kwa kucheza nje ya uwanja au fitina hizo mnaziweza nyie wana Msimbazi

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kwani Shafih kafanyaje zaidi ya kutupatia habari tusiokua uwanjani? Jamani kinachokupa utamu lazima siku kitakupa uchungu. Yanga wamewekeza kwenye viduku na magazeti. Nje ya uwanja Simba wamefanyaje? Hata goli.la offside hamkufunga likakataliwa. Hatutaki wapenzi wenye mtindio wa ubongo kama ww.

      Delete
  4. kosa la shafii liko wapi mbona mnamuonea mwambie bin kleb kuna tambwe hamtaki kiemba waje tu au kama ana hela hazina kazi waje wachukue wachezaji wote sisi tutaunda timu mpya kwenye academi yetu

    ReplyDelete
  5. Hakuna fitna kaka ni mpira tu na we mwenyew c uliona uwanjani vijana walivyotulia penye ukweli uongo hujitenga bwana kubali matokeo c fitna km fitna wanaziweza yanga baada ya miaka miwili yanga itakuwa ni branch la simba wachezaji wote wa simba watakua yanga na kichapo kitakua palepale

    ReplyDelete
  6. Kwa kunywa bia hatuwezi,uwanjani hamtuwezi 5+3=8,kaz kwenu

    ReplyDelete
  7. simba oyee.hongeren sana.mpira ni uwanjan na si magazeti ya burudan.yanga achen kuua vpaji vya wachezaji wa ndan eti kikoc imara lbda kwao jangwan na si mnyama.chezea Tambwe wewe.njo mmsajil kweny drisha kubwa na mlango mdogo

    ReplyDelete
  8. hahaaaaa mpira unachezwa uwanjani sio midomoni na kwenye vyombo vya habari,ukitaka kujua hilo waulize Yanga wakuambie,hahaaaaaaa

    ReplyDelete
  9. tatizo la hawa yanga maneno mengi mno na wanaongea bika kufikilia kw undan zaid. simba tunakikos kizur mno na ninyi mliona kumcchukua okwi na mgogoro uliopo ndo tatizo, mkasahau kuw tim ilikuwa zanz so ilikuw haihusik kabisa na mgogoro. tena mliingia uwanjan kw 100% kuwa mnashind kikawagharim

    ReplyDelete
  10. Yanga kazi mnayo tatizo mnasajili ili kuikomoa simba hamsajili sehemu ya uhitaji ndio maana mmejaza wachezaji wengi na bado wanakaa bench. Mnaua vipaji vya wachezaji.

    ReplyDelete
  11. Kiukweli baada ya muda fulani yanga itakuwa tawi la simba si mmeona kaseja alivyotupa goli? na bado mtakoma kuringa mwaka huu.

    ReplyDelete
  12. Nakumbika siku moja shafih alisha andika kwenye ukurasa wake hii habari ya yanga kusajili wachezaji wegi wa nafasi moja lkn walimjia juu sana badala ya kusajili kutokana na mahitaji wao wamekaa kukomoana wakisikia simba wanahitaji mchezaji flani wanamsajili na kuwaharibia kama walivyo fanya kwa huyu kiungo wa jkt na wakati hakuwa na umuhi wowote kwa cz walisikia simba wanamtaka yanga watabaki kushindana kwenye usajili ss tunatengeneza.

    ReplyDelete
  13. Yanga wawapii humuuuuu mbona kawaonekani wakichangia comment njooni nanyi mnene yenu ,mnyama anatisha bwanaa huyo Tambwe ni moto wa kuotea mbali huyo Ramadhan Singano we acha tu huyo yondani anamjua ni nani jana manake vijana walitulia,Manji haamini kilichotokea

    ReplyDelete
  14. hakika yanga wamepata fundisho usajili wao wakunyatia wachezaji wa simba tafuteni vipaji ona batezi.dida,msuva,bahanuzi.javu na wengine mmewauwa,njooni mmchukue na mesi atawsaidia, simba taifa kubwa inajua kutafuta vipaji.mlijua kuwa kuna mesiiiii? muulizeni yondani anamjua vizuri.

    ReplyDelete
  15. Enyi yeboyebo ni nani aliyewarofa? Kiukweli kwa soka la magazetini ata buyern munich mnamfunga tena kapu la magoli. Chaajabu uwanjani ni wepesiiiiiii ata na manyema lolote linatokea. Kwa kunywa bia mmetushinda kwa kuwa mashabiki wa timu hutumia pesa ufisadi ninyi kama chama tawala. Pesa mlizopata onesheni jeuri kwa kumnunua rage.

    ReplyDelete