Search This Blog

Sunday, December 29, 2013

MAGOLIKIPA WA LIGI KUU YA VODACOM WAIFUNGA CLOUDS MEDIA MABAO 3-1.

 Wachezaji wa timu ya Clouds Media Group wakifanya mazoezi mepesi kabla ya kuanza kwa mtanange wa kufunga mwaka dhidi ya timu ya magorikipa wanaocheza Ligi Kuu ya soka tanzania Bara.
Mbwiga akijifua.
 Kocha mchezaji wa timu ya Clouds Media Group, Mbwiga Mbwiguke (kulia) akiwaongoza wachezaji wenzake katika mazoezi.
 Wachezaji wa timu ya Makipa wanaocheza Ligi Kuu wakifanya mazoezi kwenye Uwanja wa Makurumla jijini Dar es Salaam.
 Mchezajki swa timu ya Makipa, Ivo Mapunda akisalimiana na Shaffih Dauda.
 Kikosi cha Clouds Media Group
 Timu ya Makipa wa Ligi Kuu wakiwa katika picha ya pamoja.
 Wachezaji wa tizmu ziote mbili wakisimama kwa dakika moja kuomboleza kifo cha kocha wa makipa wa timu ya Simba, Marehemu James Kisaka.
 Mchezaji wa timu ya Makipa Shaban Kado akimiliki mpira huku Bakari Masuli (kulia) akijaribu kumzuia.
Said Saleh 'Mbwiga Mbwiguke' (katikati) akitafuta mbinu za kumpokonya mpira Ivo Mapunda. 

 Mbwiga Mbwiguke (kushoto), akichuana na golikipa wa Mtibwa Sugar Hussein Sharif ''Cassilas''.
 Mbwiga Mbwiguke (kushoto), akichuana na Hussein Sharif.
 Mbwiga akimtoka kipa wa Yanga Deogratius Munishi 'Dida'.
 Mshambuliaji wa Clouds Media Group, Maulid Kikucha akimiliki mpira mbele ya golikipa wa JKT Ruvu Said Mohammed.
 Beki wa Clouds Media Group, Said Tully akimiliki mpira huku akizongwa na Hussein Sharif.
 Hekaheka......
 Mbwiga akifanya mahojiano na Juma Pondamali na Abdulhalim Humud.
 Huniwezi......

Said Mohamed akimtoka mchezaji wa Clouds Media.

No comments:

Post a Comment