Search This Blog

Thursday, December 26, 2013

LUNYAMILA AENDELEA KUPATA NAFUU....

Viongozi wa Young Africans Sports Club pamoja na wachezaji wa zamani walipomtembelea kumjulia hali mchezaji Edibily Lunyamila katika hospitali Mwananyamala Disemba 24 mwaka huu.
Lunyamila anasumbuliwa na tatizo la mapafu, hali yake kwa sasa inaendelea vizuri.

Young Africans Sports Club tunamuombea Lunyamila apate nafuu ya haraka na kupona kabisa aweze kuendelea na shughuli zake za kila siku.

Abdallah Bin Kleb, Mohamed Bhinda, Juma Kaseja, Dr Nassoro Ally Matuzya, Kaise Edwin wakiwa nje ya wodi aliyolazwa mchezaji Edibily Lunyamila siku moja kabla ya Xmass wallipokwenda kumjulia hali
Wachezaji wa zamani wa Young Africans Sports Club wakiwa pamoja na viongozi walipokwenda kumjulia hali Lunyamila.

No comments:

Post a Comment