Search This Blog

Thursday, November 14, 2013

MANCHESTER UNITED YAVUNJA REKODI YA MAPATO - YAINGIZA £98.5m NDANI YA MIEZI MITATU TU

Manchester United imevunja rekodi ya makusanyo ya mapato baada ya kuingiza kiasi cha  £98.5m katika miezi mitatu ya kwanza ya mwaka wa fedha. 
Ukuaji wa asilimia 29% wa mapato unakuja baada ya ukuaji wa  63% pato linalotokana na udhamini na pia kutoka kwenye dili za kuuza haki za matangazo ya TV.  
Kulikuwepo na mikataba mipya 12 ya udhamini iliyosainiwa, ukiwemo na shirika la ndege la Urusi Aeroflot.
Klabu hiyo inategemea kwa mawaka mzima itaingiza kiasi cha  £420-430m, wakiwazidi kuwakaribia matajiri wenzao wa , Real Madrid and Barcelona.

3 comments: