Search This Blog

Wednesday, November 20, 2013

HAT TRICK HERO CRISTIANO RONALDOOOOOO!






Mabao matatu aliyoyafunga jana Ronaldo kwenye mchezo dhidi ya Sweden yamemfanya kufikisha jumla ya mabao 47 na kumfikia mshambuliaji Pedro Pauleta,Pauleta ndiye alikuwa anashikilia rekodi ya timu ya Taifa ya Ureno ya kufunga mabao mengi. Kama Ronaldo akifanikiwa kufunga tena basi atakuwa anaweka rekodi ya kuifungia Ureno mabao mengi.

No comments:

Post a Comment