Search This Blog

Friday, November 22, 2013

BAADA YA SOKA GIGGS NA GARY NEVILLE WAFUNGUA MGAHAWA WA VYAKULA


Fry-up: Gary Neville and Ryan Giggs cooked off with chefs Brendan Fyldes (left) and Martin Wignall (right)

Katika kuelekea ufunguzi wa mgahawa wao magwiji wa soka wa klabu ya Manchester United Ryan Giggs na Gary Neville jana waliingia kwenye mashindano ya kupika misosi.

Giggs na Neville kwa pamoja jana walishiriki kwenye mashindano hayo yaliyofanyika maeneo ya Westfield Stratford City shopping centre jijini London ikiwa ni moja ya shamrashamra ya ufunguzi wa mgawaha wao wa Cafe Football.

Wawili hao walishindana na mpishi mkuu wa mgahawa huo, Brendan Fyldes pamoja na mpishi wa Michelin chef Michael Wignall.


Giggs na mwenzie walipika vyakula vikuu vitatu ambavyo vitakavyokuwa vikipatikana hapo vikiwemo Nev's Noodle Pot, Wignall's Halftime Orange na Chocolate Pistachio Turf.
Neville alisema: 'Shindano hili lilikuwa nafasi nzuri kwa wanunuzi Westfield Stratford City kuona nini tumewaandalia kwenye Cafe Football.
'Mapishi matatu tuliyopika ni mfano tu uzuri wa vyakula ambavyo vitakuwa vikipatikana Cafe Football.
Re-United: Giggs (right) and Neville say the cafe is focused on quality food with a nod to sport

Having a laugh: The restaurant will open its doors to the public next month


Mgahawa huo utafunguliwa rasmi mwezi ujao. 
Partnership: Giggs and Neville were team-mates at United from 1992 until Neville's retirement in 2011


No comments:

Post a Comment