Search This Blog

Sunday, October 13, 2013

YANGA WALIVYOWALAMBISHA SUKARI KAGERA SUGAR - YAITANDIKA 2-1 NYUMBANI KWAO


Kikosi cha Kagera Sugar. Picha na www.bukobasports.com
Kikosi cha Yanga
Waamuzi na Timu Kapteni wakiteta jambo muda mfupi kabla ya mpira kuanza.
Benchi la Yanga.
Benchi la Kagera Sugar.
Raha ya ushindi.
Wachezaji wa Yanga wakishangilia. Kutoka kushoto ni Mbuyu Twite, Hamis Kiiza na Mrisho Ngasa.
Chukua tano kwanza ....Asante!!
Patashika Uwanjani.
Baadhi ya Mashabiki waliojitokeza kuangalia pambano la Yanga na kagera Sugar.

No comments:

Post a Comment