Search This Blog

Thursday, October 10, 2013

TANZIA! ROBERT IKEREGE AFIWA NA MAMA YAKE MZAZI




Meneja wa zamani wa Yanga Robert Ikerege ambaye sasa ni mwenyekiti wa tawi la Yanga la Mwananyamala Msisiri,amefiwa na mama yake mzazi Stella Magesa Mkoani Tabora hii leo.


Bwana Ikelege pamoja na familia ya marehemu,wanatoka Dar Es Salaam na kuelekea Tabora kuupitia mwili marehemu,kisha kuusafirisha kwenda kijiji cha Bwima wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza,kwa ajili ya mazishi yakayofanyika siku ya jumamosi.


Mungu ailaze Roho ya marehemu mahala pema peponi amina.

1 comment: