Search This Blog

Wednesday, October 9, 2013

KAULI YA JACK WILSHERE KUHUSU URAIA YAZUA UTATA NCHINI ENGLAND.


Leo mapema kiungo wa Arsenal alitoa kauli ifuatayo :

''The only people who should play for England are English people. If you live in England for five years it doesn’t make you English. If I went to Spain and lived there for five years I’m not going to play for Spain''.

 Baada ya kauli hiyo ya Wilshere nahodha wa zamani wa timu ya taifa ya England ya mchezo wa kriketi Kevin Pietersen alimjibu Wilshere kwenye Twitter.

naye mshambuliaji wa zamani wa Wimbledon na timu ya taifa ya England naye aliandika maneno 
yafuatayo kwenye twitter.



No comments:

Post a Comment