Search This Blog

Friday, October 25, 2013

HAMAD YAHYA ASHINDA UCHAGUZI BODI YA LIGI


HAMAD Yahya ameibuka mshindi wa uchaguzi wa Bodi ya Ligi Tanzania (Tanzania Professional League- TPL Board) uliofanyika leo Oktoba 25 kwenye ukumbi wa mikutano uliopo Golden Jubilee Tower kuanzia saa 3 asubuh. 

Kwa mujibu wa habari zilizotufikia hivi punde, Yahya anayetokea Mtibwa Sugar ameshinda kwa asilimia 100. 


No comments:

Post a Comment