Search This Blog

Sunday, September 15, 2013

ANGALIA PICHA ZA BONANZA LA SERENGETI SOKA FIESTA LILIVYOFANA MOROGORO

 Mashabiki wa liverpool waliounda timu iliyoshiriki Bonanza na Serengeti soka Fiesta Mkoani Morogoro Ikiwa ni maandalizi ya Tamsha Kubwa la Muziki la Fiesta litakalofanyika Mkoani Morogoro Kesho Katika Uwanja wa Jamuhuri.
 Mtangazaji wa Clouds fm The People Station Mbwiga Mbiguke akiwa ndani ya jezi ya Liverpool wakati wa bonanza hilo  lililovutia wakazi wengi wa Manispaa ya Morogoro.Ambapo Mshindi wa Bonanza hilo hujinyakulia kombe.Timu shiriki huundwa na mashabiki wa vilabu za ulaya waliopo katika moikoa Mbalimbalia hapa nchini.
 Kikosi cha timu ya real Madrid Waliojitokeza kwenye Bonanza hilo
 Mchezaji wa Zamani Mzee Kondo akiwa katika jezi ya Timu ya Manchester United wakati wa bonanza la serengeti soka fiesta Mkoani Morogoro leo.Bonanza hilo limewavutia wakati wa manispaa ya Morogoro wa Rika Mbalimbali pamoja na wachezaji wa zamani wa timu za ligi kuu na ligi daraja la kwanza.
 Wachezaji wa zamani wa timu ya polisi ya Morogoro Mokil Rambo Kushoto Na Delta Thomasi wakiwa katika bonanza hilo leo ambapo walichezea timu ya Manchester United
 Mashabiki waliounda timu ya Ac Milan wakati wa bonanza la Serengeti Soka Fiesta Mjini Morogoro
 Timu ya Arsenal Iliyoshiriki katika Bonanza hilo
 Mashabiki wa Chelsea waliounda timu iliyoshiriki katika Bonanza hilo 
Mashabiki wa bingwa wa ligi kuu England Manchester United waliounda timu iliyoshiriki katika Bonanza La Serengeti Soka Fiesta Mkoani Morogoro
 Mchezaji wa zamani wa Timu ya Sunderlanda na Shujaa Mzee  Sadick Mwambeta naye akivaa tayari katika Bonanza na Serengeti Soka Fiesta
                              
Mashabiki waliounda Timu ya Bayern Munich

No comments:

Post a Comment