Search This Blog

Tuesday, August 6, 2013

PATRICK OCHAN ATEMWA TP MAZEMBE - ASHINDWA KUKIDHI MAHITAJI YA TIMU

Takribani miaka miaka mitatu tangu asajiliwe kwa mamilioni ya fedha kutoka klabu ya Simba ya Tanzania, kiungo wa kimataifa wa Uganda Patrick Ochan ametemwa na klaby yake ya TP Mazembe, kutokana na kutokidhi mahitaji ya klabu hiyo. 

Ochan, kwa pamoja na mganda mwenzie Mike Mutyaba ambaye alisajiliwa kutoka El Merrick, wameripotiwa kurudi kwao Uganda kwa sasa wakati TP ikiwa bado ianshiriki kwenye michuano ya CAF.

Kwa mujibu wa mtandao rasmi wa TP Mazembe, wachezaji hao wawili wameruhusiwa kutafuta timu za kucheza za mkopo.

Ochan, tayari amehusishwa kutaka kujiunga na klabu ya KCCA kwa mkopo na tayari wameshaaanza mazungumzo, KCCA inashiriki michuano ya CAF Champions League msimu.

DR Congo football giants, TP Mazembe, have offloaded Ugandan duo, Mike Mutyaba and Patrick Ochan, due to failure to match the standards of the football club. - See more at: http://chimpreports.com/index.php/sport/11975-tp-mazembe-offload-mike-mutyaba-patrick-ochan.html#sthash.WaKL8ZFC.dpuf
DR Congo football giants, TP Mazembe, have offloaded Ugandan duo, Mike Mutyaba and Patrick Ochan, due to failure to match the standards of the football club. - See more at: http://chimpreports.com/index.php/sport/11975-tp-mazembe-offload-mike-mutyaba-patrick-ochan.html#sthash.WaKL8ZFC.dpuf

No comments:

Post a Comment