Search This Blog

Friday, June 21, 2013

VIDEO + PHOTOS: ZIARA YA DAVID BECKHAM CHINA YALETA MAAFA - UMATI WAFURIKA KUTAKA KUMUONA - WATU 7 WAJERUHIWA


Ziara ya David Beckham huko China katika chuo Tongji University kilichopo Shngahi imeleta maafa baada wanafunzi watano na polisi wawili kujeruhiwa kutoka wingi wa watu waliokuwa wakitaka japo kumuona staa huyo wa soka duniani. 


Mchezaji huyo wa zamani wa Manchester United na Real Madrid alikuwa akutane na wanafunzi wa chuo hicho ambao ni wanasoka ikiwa ni moja ya kazi zake atakazofanya China katika dili lake la kuipromoti ligi kuu ya nchi hiyo.



Askari akiwa amebebwa baada ya kujeruhiwa

Vurugu 


No comments:

Post a Comment