Search This Blog

Friday, June 14, 2013

MSIBA WA ABDALLAH MSAMBA AZIKWA LEO NDUGUMBI MAGOMENI


Nipo na mshkaji wangu kitambo Athumani Kipao.
Peter Manyika na Mfaume Athumani wote walikuwa magolikipa wa Yanga.

Mwenye tshirt nyekundu na kofia ni mchazaji wa zamani Kangilila  Maufi pamoja na mdau Evarist Hagira
Anayeongea na simu ni Mshambuliaji wa zamani wa sigara na Simba Gebo Peter

Mwili wa Marehemu Abdallah Msamba ukiwa umebebwa kuelekea makaburini tayari kwa kuzikwa

Umati ukimsindikiza Msamba ambaye alikuwa mwanasoka huyo wa zamani wa klabu ya Sigara na Simba katika nyumba yake ya Milele.

1 comment: