Search This Blog

Friday, June 7, 2013

BAADA YA KUMNYAKUA BOBAN - COASTAL UNION YAMSAJILI JUMA NYOSSO, KENNETH MASUMBUKO NA MARCUS NDAHELI KUTOKA OLJORO

Juma Nyosso leo amevunja mkataba na klabu ya Simba - na taarifa zisizo rasmi zinasema anaenda kujiunga na Coastal Union ya Tanga, ambayo hivi karibuni imekuwa katika harakati za kuunda vyema kikosi chake baada ya wiki iliyopita kumsaini Haruna Moshi Boban, na jana kutangaza usajili wa wachezaji Marcus Ndaheli kutoka JKT Oljoro na Kenneth Masumbuko

Mlinzi wa kati wa JKT Oljoro, Marcus Ndeheli akisaini mkataba wa miaka miwili wa kuichezea Coastal Union

Kiungo mshambuliaji, Kenneth Masumbuko akisaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Coastal Union

No comments:

Post a Comment