Search This Blog

Saturday, May 18, 2013

CLOUDS THE DREAM TEAM ILIVYOPEPETANA NA CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA IFM NA KUTOKA SARE 1-1

Ibrahim Masoud Maestro akitoa maelekezo kwa timu yake ya Clouds wakati wa mapumziko

Alex Luambano hoiiiiiiiiiii

    Wachezaji wa IFM wakiwa hawaamini wanachokishuhudia.....
 Kocha wa Chuo Cha Usimamizi wa Fedha Dotto Mokili akiwapa maelekezo wachezaji wake.
   Nikiwa na washikaji zangu wa IFM....Kulia kwangu ni mwanangu mwenyewe Mohammed Killer pamoja golikipa wangu TALIB enzi zile za SHIMIVUTA.....

Mchezo mkali wa kirafiki kati ya CLOUDS MEDIA 'The Dream Team' dhidi ya Wafanyakazi wa chuo cha usimamizi wa Fedha (IFM ) ulimalizika kwa timu hizo kufungana bao 1:1.
Mchezo huo ulifanyika kwenye viwanja vya Tanganyika Packers maeneo ya kawe jijini Dar Es Salaam.




No comments:

Post a Comment