Search This Blog

Saturday, April 20, 2013

LIVE MATCH CENTRE: AZAM FC 0 - 0 AS FAR RABAT FULL TIME

Dk 90+5 FULL TIME Azam 0-0 Rabat.

Dk 90+4 Tchetche wa Azam anaichambua ngome ya Rabat na kupia shuti kali linalotoka juu kidogo ya lango la Rabat. Azam 0-0 Rabat.

Dk 90+2 Youssef Anouar wa Rabat anaichambua ngome ya Azam lakini anapiga shuti hafifu linalookolewa.

Dk 89 Rabat wanafanya mabadiliko ametoka Abderrahim Achchakir ameingia Mostapha El Yousfi.

Dk 86 John Bocco wa Azam anapiga shuti kali langoni kwa Rabat lakini anaudaka mpira. Azam 0-0 Rabat

Dk 83 Bolou wa Azam anaonyeshwa kadi ya njano baada ya kuonyesha mchezo usiofaa.

Dk79 Rabat imefanya mabadiliko ametoka Salaheddine Aqqal ameingia Soufiane Alloudi.

Dk 77 Azam inafanya mabadiliko ametoka Khamis Mcha ameingia Gaudence Mwaikimba.

Dk 73 Abderahim Achchakir wa Rabat anaonyeshwa kadi ya njano kwa mchezo mbaya. Azam 0-0 Rabat.

Dk 71 Mustapha Murani wa Rabat anaonyeshwa kadi ya njano baada ya kumchezea rafu Michael Bolou wa Azam.

Dk 65 Tchetche wa Azam anapiga shuti kali linalogonga mwamba wa kulia wa Rabat na kurudi uwanjani. Azam 0-0 Rabat

Dk 59 Mustapha Allaoui wa Rabat anaanguka akiwa peke yake katika lango la Azam. Mpira unasimama na Mustapha anatibiwa.

Dk 54 Azam wamekuja kwa kasi na kuwashambulia Rabat kila mara.

Dk 52 Kipre Tchetche anakosa bao la wazi

Dk 52 Kipre Tchetche anakosa bao la wazi

Dk 45 KIPINDI CHA PILI KIMEANZA

Dk 45 HALF TIME

Dk 44 Rabat wanafanya shambulizi kali langoni kwa Azam lakini mpira unaokolewa na kuwa kona butu.

Dk 40 Mpira umechangamka lakini safu za ushambuliaji za timu zote hazipo makini. Azam 0-0 Rabat

Dk 30 Azam Fc 0 - 0 AS Far Rabat

Dk 20 Bado timu zinashambuliana kwa zamu huku umakini ukikosekana katika umaliziaji.

Dk 10 Azam Fc 0 - 0 AS Far Rabat

Mpira umeanza uwanja wa Taifa Azam FC vs AS Far Rabat

Dk 5 Timu zinashambuliana kwa zamu

No comments:

Post a Comment