Search This Blog

Thursday, April 11, 2013

HAWA NDIO WACHEZAJI 10 AMBAO KILA WALIPOFUNGA TIMU ZAO HAZIKUPOTEZA MECHI KWENYE LIGI KUU YA ENGLAND

Sergio Aguero's goal in Man City's 2-1 win at Man United was the 25th Premier League game in which the Argentine has scored and in every one of those games his team has emerged without defeat. That puts him among the top 10 Premier League goal scoring good luck charms; players who never suffered defeat in a game when they found the back of the net. At number 10 are former Forest star Bryan Roy and ex-Man United fill-back Denis Irwin, who both netted in 18 Premier League games, without defeat…

Goli la Sergio Aguero kuiwezesha Man City kushinda 2-1 dhidi ya United, ulikuwa ni mchezo wa 25 ambao muargentina huyo alifunga bao katika kila mechi na timu yake ikaibuka na matokeo chanya. Hilo linamuweka kwenye listi ya wachezaji 10 wa Premier League ambao pindi wanapofunga timu zao huwa hazipotezi mchezo - yaani ni wachezaji ambao hawakuwahi kuonja machungu ya kufungwa pindi wanapozifungia timu zao. Kwenye nafasi ya 10 yupo mchezaji wa zamani wa Nottigham Forest Bryan Roy na beki wa kushoto wa zamani wa Man United Denis Irwin, ambao wote walifunga kwenye mechi 18 za premier league, bila kupoteza mchezo...


NO. 9
Norwegian Riise is famous for his thunderbolt shot and has yet to taste defeat in the 19 Premier League games he has scored in for Liverpool and Fulham

John Arne Riise, alifunga kwenye mechi 19 za Premier League, alishinda 13, suluhu 6 - Mnorway huyu alikuwa ni mchezaji maarufu kwa kupiga magoli ya mashuti ya mbali - aliweza kufunga katika mechi 19 za ligi akiwa na jezi ya Liverpool na Fulham na katika michezo hiyo hakuonja kipigo hata kidogo.

 NO. 8

Former Man United favourite Lee Sharpe also scored in 19 Premier League games, but won 17 of those compared to Riise's 13, drawing the other two.

Lee Sharpe, alifunga kwenye mechi 19 za Premier League, akashinda 17, na suluhu 2 - Mchezaji huyu wa zamani wa Man United Lee Sharpe alifunga kwenye michezo 19 ya ligi kuu ya Engand, lakini akashinda michezo 17 ukilinganisha na 13 ya Riise - huku akitoa suluhu michezo miwili tu.

NO. 7Tottenham have yet to lose a Premier League match in which Aaron Lennon has scored

Tottenham Hotspur hawajawahi kufungwa pindi Aaron Lennon anapofunga, kijana amefunga kwenye mechi 24 za Premier League, Spurs ikishinda mechi 22, suluhu 2.

 NO. 6Argentine Aguero extended the record of Man City avoiding defeat whenever he scores in the Premier League with his winner at Old Trafford

 Sergio Aguero, amefunga kwenye mechi 25 za Premier League, ushindi kwenye mechi 23, suluhu 2.

NO. 5
Norwegian Leonhardsen experienced his most successful spell at Wimbledon, but also scored goals for Liverpool and Tottenham, without suffering Premier League defeat in any of those games

5. Oyvind Leonhardsen, alicheza na kufunga kwenye mechi 28 za Premier League games, ushindi kwenye mechi 21, suluhu kwenye 7 - Mnorway Leonhardsen alikuwa na wakati mzuri sana akiwa na Wimbledon, lakini alifunga mabao akiwa na Liverpool na Tottenham, bila kuonja uchungu wa kufungwa kwenye mechi hizo.

NO. 4 Milner scored his first Premier League goal aged just 16 and has yet to suffer defeat when finding the back of the net for Leeds, Newcastle United, Aston Villa and Man City.

James Milner, amecheza na kufunga 30 za Premier League, ushindi mechi 24, suluhu mechi 6 - Milner alifunga goli lake la kwanza la Premier League akiwa na umri wa miaka 16 na tangu wakati huo hajawahi kupoteza mechi pindi anapoifungia timu yake goli  tangu akiwa Leeds, Newcastle United, Aston Villa na Man City.

NO. 3
Arsenal were invincible whenever Fabregas found the back of the net for them in the Premier League

 Cesc Fabregas, alifunga kwenye mechi 32 Premier League, alishinda mechi 27, na suluhu 5 - Arsenal walikuwa hawafungiki wakati nahodha wao Fabregas alipokuwa kwenye orodha ya wafungaji wa mchezo husika wa premier league.

NO. 2The former Chelsea forward never lost a match when he score for the Blues in England's top flight.

 Salomon Kalou, aliifunga Chelsea katika mechi 32 za Premier League, walishinda mechi 29, na kutoa suluhu 3.

NO. 1

 Head and shoulders above the rest, Vassell had an incredible record of never losing when scoring for Aston Villa and Man City in the top flight. shame he couldn't tuck it away from 12 yards for England at Euro 2004!

Namba moja inakamatwa na mshambuliaji Darius Vassell, ambaye alifunga kwenye mechi 46 za Premier League, na kuziwezesha timu zake za Aston Villa na Man City kushinda kwenye mechi 36, na kutoa suluhu 10.

No comments:

Post a Comment