Search This Blog

Thursday, March 28, 2013

WAKENYA WAFURUKUTA GUINNESS FOOTBALL CHALLENGE


Washindi wa kipindi cha pili cha Guinness Football Challenge,Kepha Kimani kutoka Thika Kenya(kushoto) na Francis Ngigi kutoka Nairobi Kenya(kulia) katika picha ya pamoja na watangazaji wa kipindi hicho Larry Asego and Flavia Tumsiime jana baada ya ushindi.

No comments:

Post a Comment