Search This Blog

Thursday, March 14, 2013

USHINDI WA BARCELONA NA UCHAGUZI WA PAPA


Wakati wa uchaguzi wa Papa mwaka 1958, Barca waliwatandika wapinzani wao Real Madrid 4-0 kwenye La liga. Angelo Roncalli - John XXIII aliteuliwa kuwa Papa.
 

Mwaka 1978 wakati wa uchaguzi wa Papa, Barca tena iliiwanyamazisha Las Palmas  kwa bao 4-0...John Paul II aliteuliwa Papa.
 
Na mwaka huu wakati maaskofu wa kanisa katoliki wakiwa kwenye uchaguzi wa Papa, Barca waliwaadhibu AC Milan 4-0...

4 comments:

  1. Kaka watu mnajua sana kuunganisha matukio balaa,otherwise big up kwa kua na records nzuri

    ReplyDelete
  2. vipi matokeo ya Asenali yalikuwaje enzi hizo?

    ReplyDelete