Search This Blog

Thursday, March 21, 2013

RAISI DR JAKAYA MRISHO KIKWETE AKIZINDUA RASMI KITUO CHA SOKA CHA AZAM COMPLEX.

Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr Jakaya Mrisho Kikwete akikizindua rasmi kituo cha soka cha Azam Complex hii kilichopo maeneo ya Mbande,Chamazi. Pembeni yake ni Makamu Mwenyekiti wa AZAM FC ndugu Said Mohammed.
 Mheshimiwa Dr Jakaya M Kikwete akikata utepe kuashiria kukifungua rasmi kituo cha Azam Complex,kulia kwake ni Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Dr Fenella Mukangara
   Mheshimiwa Raisi J.M. Kikwete akiwa kwenye Gym...

 Mkurugenzi Mtendaji wa makampuni ya SSB na Mwenyekiti wa Azam FC Ndugu Abubacar Bakhressa akimkaribisha Mheshimiwa Raisi Jakaya Kikwete
 Kutoka kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Azam Fc ndugu Said Mohamed,Dr Fenella Mukangara,Ndugu Abubacar Bakhressa na mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam Ndugu Sadick Mecky Sadick

No comments:

Post a Comment