Search This Blog

Wednesday, March 27, 2013

MNYAMA ACHINJWA BUKOBA - AZAM YAWALAMBISHA KONI PRISONS



Mabingwa watetezi wa VPL, Simba SC leo wameendelea kupoteza matumaini ya kutetea ubingwa wao baada ya kufungwa bao 1-0 na Kagera Sugar katika mchezo uliofanyika kwenye uwanja wa Kaitaba mkoani Kagera. Kwa upande mwingine Azam FC leo hii wameishindilia Prisons 3-0 kwa dimba la Chamazi.
Kikosi cha Kagera Sukari (PICHA ZOTE KWA HISANI YA BUKOBASPORTS.COM)
Waamuzi wa leo hii waliochezasha mpambo

Waamuzi na makapteni wakiteta jambo
Benchi la Kagera Sukari
Benchi la Simba
Wadau wakifuatilia soka

Tangu Mechi ianze kocha huyu wa Simba alionekana kuwa na mawazo sana

Kocha wa Kagera Sugar King Kibadeni
Wachezaji wakisalimiana




Uwanja wa Kaitaba unavyofanana ambao unauwezo wa Kuingiza watu 3,000
Mtanange ukiendelea
Mchezaji wa Kagera Sukari akiangaliwa baada ya kuumia









Wadau mbalimbali wa Soka
Ubao huooooo...dakika 90
Mpira umeisha...Kagera Sugar 1 Simba 0.

3 comments:

  1. Mwaka wa njaa ni wa njaa, Sikio la kufa halisikii dawa, siku ya njani kufa miti yote huteleza .Anyway, you'll never walk alone!!! Mashabiki wa kweli bado tumo japo nafasi ya pili inshallah!! Ikishindikana basi hata kumfunga yanga si haba! Itatufariji.vita mbeleee.

    ReplyDelete
  2. simba mtampa tu pressure huyo tajiri wetu malkia wa nyuki cha kufanya simba fukuza rage,julio na kaseja hao ndo wachawi wa simba bila hivyo tutachezea vichapo kila mechi

    ReplyDelete
  3. Simba mmevuna mlichopanda hasa viongozi ving'ang'anizi kama Rage.

    ReplyDelete