Search This Blog

Saturday, January 12, 2013

SIMBA WAENDELEA KUWASILI KWA MAKUNDI OMAN - SINGANO 'MESSI' NA ABDALLAH SESEME WAWASILI LEO


Wachezaji wawili wa Simba, Abdallah Seseme (kushoto) na Ramadhan Singano ‘Messi’, wakipokewa na Talib Hilal (kulia) na Ofisa wa Ubalozi wa Tanzania Oman, Abdallah Kilima mara baada ya kuwasili nchini Oman kujiunga na wenzao kambini, leo.
Singano na Seseme wakiwa uwanja wa ndege nchini Oman leo baada ya kutua. Wanasalimiana na waliokwenda kuwapokea. (PICHA NA SALEHE ALLY)

No comments:

Post a Comment