Search This Blog

Thursday, January 24, 2013

SIMBA NA YANGA WAKABIDHIWA VIFAA KWA AJILI YA MZUNGUKO WA PILI WA VPL

Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, wadhamini wa wakuu wa klabu ya Yanga akimkabidhi Msemaji wa Yanga, Lawrence Mwalusako vifaa kwa ajili ya raundi ya pili ya ligi kuu inayoanza kesho. (Picha: Executive Solutions)

Viongozi wa Simba, Yanga na TFF wakiwa na meneja wa Kilimanjaro Kavishe  (Picha: Executive Solutions)

Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, wadhamini wa wakuu wa klabu ya Simba akimkabidhi Msemaji wa Simba, Ezekiel Kamwaga vifaa kwa ajili ya raundi ya pili ya ligi kuu inayoanza kesho. (Picha: Executive Solutions)

No comments:

Post a Comment