Search This Blog

Saturday, January 19, 2013

EXCLUSIVE: WAPINZANI WA YANGA - BLACK LEOPARDS WAJIFUA UWANJA WA TAIFA TAYARI KULIKABILI JESHI LA MANJI KESHO

Wachezaji wa timu Black Leopards kutoka Afrika ya kusini jioni ya leo hii wakiwa kwenye uwanja wa taifa wakifanya mazoezi tayari kwa kuikabili Yanga kesho katika dimba hili hili.

No comments:

Post a Comment