Search This Blog

Saturday, December 8, 2012

ZANZIBAR YATWAA NAFASI YA TATU BAADA YA KUIFUNGA KILIMANJARO STARS

 Mshambuliaji wa timu ya Kilimanjaro Stars inayodhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, John Boko akiwatoka mabeki wa timu ya Zanzibar Heroes wakati wa mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu katika michuano ya Cecafa Challenge uliochezwa katika Uwanja wa Nelson Mandela nchini Uganda
 Mchezaji wa timu ya Kilimanjaro Stars inayodhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager,Athuman Chuji akimtoka beki wa timu ya Zanzibar Heroes, Sbari Alliy Makame wakati wa mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu katika michuano ya Cecafa Challenge uliochezwa katika Uwanja wa Nelson Mandela nchini Uganda
 Mlinda mlango wa timu ya Kilimanjaro Stars inayodhaminiwa na Bia ya Kilimanajro Premium Lager, Juma Kaseja (kushoto) akiokoa moja ya hatari mbele ya mshambuliaji wa timu ya Zanzibar Heroes, Khamisi Mcha Khamis wakati wa mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu wa michuano ya Cecafa Challenge uliochezwa katika Uwanja wa Nelson Mandela Kampala
Beki wa timu ya Zanzibar Heroes, Haroub Nadir akimzuia mshambuliaji wa trimu ya Zanzibar Heroes, John Boko wakati wa mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu uliochezwa katika Uwanja wa Nelson Mandela nchini Uganda

1 comment:

  1. waandishi wa Bongo bwana,umeandika Zanz wameshinda lkn wameshindaje na bao ngapi hakuna,sijawahi kufikil mwandishi ambaye pia ni mwanamichezo kawa ww unaweza kuleta habali pungufu namna hii,au mnafikil tunaopitia kwenye blog zenu tupo east Africa?wa tz wapo nchi mbalimbali ni vigum kupata baadhi ya habari mapema.PLZ ACHA KUWEKA VITU NUSU NUSU,

    ReplyDelete