Search This Blog

Sunday, December 23, 2012

AZAM BINGWA UHAI CUP - YAIFUNGA KWA PENATI COASTAL UNION

Mchezo wa fainali ya kombe la Uhai Cup umeisha hivi punde katika uwanja wa Karume kwa Azam FC kushinda kwa penati baada ya kutoka sare ya 2-2 katika dakika 120 za mchezo huo.
Kwa maana hiyo Azam FC ndio mabingwa wapya wa Uhai Cup wakijizolea fedha taslimu shilingi 1.5 na nusu huku Coastal Union wakiambulia shilingi million 1 kama zawadi ya washindi wa wa pili.
ZAWADI NYINGINE ZILITOLEWA KAMA IFUATAVYO
Nafasi ya 3-Simba SC - 500,000
 
Kocha Bora-Bakari Shime(Coastal Union) -
300,000

Kipa Bora-Mansur A.Mansur(Coastal Union) -
300,000

Mfungaji Bora-Ramadhan magoli 6(Simba) -

300,000
Timu Yenye Nidhamu-Ruvu Shooting - 400,000
Mchezaji Bora - Joseph Kimwaga(Azam Fc) - 350,000
Refa bora-Isiaka Mwalile

No comments:

Post a Comment