Search This Blog

Wednesday, November 28, 2012

YANAYOENDELEA KWENYE MSIBA WA SHARO MILLIONEA TANGA

Mama yake mzazi Sharo Millionea akiwa ameshikwa baada ya kuishiwa nguvu baada ya kutoka mochwari kuchukua mwili wa mwanae
     
Umati wa watu wakiwa nje ya Hosptali ya Muheza

Ulinzi uliimarishwa

Mwili wa marehemu ulishushwa kwenye gari kuingia ndani kwa ajili ya maandalizi ya mazishi

Umati uliopo nje ya nyumba ya akina Sharo ambapo ndio msiba umewekwa hapo





4 comments:

  1. Mungu ailaze roho ya marehem mahala pema na aipe nguvu familia ya marehem katika kipindi hiki

    ReplyDelete
  2. Kazi ya mungu haina makosa alazwe pema peponi hussein ramadhani amina

    ReplyDelete
  3. Tupo nyuma yako hussein ramadhan alah karim

    ReplyDelete