Search This Blog

Thursday, November 22, 2012

REAL MADRID NDIO TIMU YA WAFUNGAJI WENGI KWENYE LA LIGA


Baada ya mechi 12 za msimu wa ligi, Real Madrid ndio timu yenye wafungaji wengi wa magoli: 12.

Mechi ya Athletic Bilbao iliwawezesha Ramos, Özil na Khedira kuongeza majina yao katika listi ya majina ya wachezaji ambao wamefunga mabao katika ligi na kuonyesha njaa ya wachezaji wa Real mbele ya goli.

Walinzi na viungo pia wapo katika orodha ya wafungaji wa Real. Washambuliaji wamefunga mabao 22, wakiwakisha asilimia 70% ya ujumla, na yaliyobakia yamefungwa kutoka na viungo na mabeki, na kuweka ujumla wa mabao 32 kwa Real kwenye La Liga. Mbao saba kati ya hayo yamefungwa na wachezaji kutoka safu ya ulinzi

REALMADRID LEAGUE GOAL SCORERS
Players Goals
Cristiano Ronaldo 12
Higuaín 7
Benzema 2
Di María 2
Sergio Ramos 1
Pepe 1
Özil 1
Khedira 1
Modric 1
Essien 1
Callejón 1
Morata 1

No comments:

Post a Comment