Search This Blog

Thursday, November 29, 2012

MWINYI KAZIMOTO NA SHOMARI KAPOMBE MAJERUHI STARS

Majeruhi, Shomari Kapombe (kushoto) na Mwinyi Kazimoto wakiangalia wachezaji wenzao wakati wakifanya mazoezi katika Uwanja wa Chuo Kikuu Kyambogo nchini Uganda jana. Kapombe na Kazimoto waliumia wakati wa mchezo dhidi ya timu ya Burundi wa michuano ya Cecafa Chalenge uliochezwa katika Uwanja wa Nelson Mandela


Wachezaji wa timu ya Kilimanjaro Stars wakiwa mazoezini katika Uwanja wa Chuo Kikuu cha Kyambogo Jijini Kampala jana

Wachezaji wa Kilimanajaro Stars wakiwa mazoezini katika Uwanja wa Chuo Kikuu cha Kyambogo nichini Jijini Kampala jana kutoka kushoto ni Erasto Nyoni, Athuma Idd na John Bocco


No comments:

Post a Comment