Search This Blog

Thursday, November 22, 2012

MKAKATI WA MAENDELEO YA MCHEZO WA SOKA LA UFUKWENI ' BEACH SOCCER ' WAZINDULIWA RASMI.

 Beki wa YANGA na nahodha wa zamani wa TAIFA STARS Shadrack Nsajigwa akisikiliza kwa umakini mkubwa wakati wa mchakato wa kutengeneza mchakato maendeleo ya Beach Soccer wa miaka minne, anayemfuatia Nsajigwa na winga wa zamani wa YANGA na RIVATEX ya nchini Kenya.
 Mkufunzi anayetambuliwa na FIFA wa mambo ya Utawala na uongozi michezoni Bwana Henry Tandau akitoa somo kwa wadau waliohudhuria washa hiyo ya siku moja kwenye Hotel ya Escape Two iliyopo Mbezi Beach jijini Dar Es Salaam.
 Mimi pia nilikuepo kutoa mchango wangu wa nini kifanyike ktk kipindi cha miaka minne ijayo walau Tanzania iweze kushiriki kombe la Dunia kupitia mchezo huu.
 wewe mdau pia unaweza kuongezea madini hapa!
 Ibrahim Masoud 'Maestro' alikuepo pia,pembeni yake ni Stewart Kambona kutoka Prime Time Promotions.
Mkurugenzi wa ufundi wa TFF Bwana Sunday Kayuni pia alikuepo kwenye huo chakato wa kutengeneza.

No comments:

Post a Comment