Search This Blog

Thursday, November 29, 2012

KILIMANJARO STARS 0:1 BURUNDI KTK PICHA!

 Mshambuliaji wa timu ya Kilimanjaro Stars, Simon Msuva akimiliki mpira
wakati wa mchezo dhidi ya Burundi kwenye michuano ya Cecafa Challenge
uliochezwa katika Uwanja wa Mandela jana
 Kiungo mshambuliaji wa Kilimanjaro Stars, Mwinyi Kazimoto akimiliki
mpira wakati wa mchezo dhidi ya Burundi kwenye michuano ya Cecafa
Challenge uliochezwa katika Uwanja wa Mandela nchini Uganda
Mshambuliaji wa Kilimanjaro Stars, John Bocco akichuana na Beki wa
Burundi, Glberty Kaze wakati wa mchezo dhidi ya Burundi kwenye
michuano ya Cecafa Challenge uliochezwa katika Uwanja wa Mandela
nchini Uganda jana

No comments:

Post a Comment