Search This Blog

Friday, November 30, 2012

KENYA YAKATA TIKETI YA ROBO FAINALI CHALENJI IKIING'UTA ETHIOPIA 3-1

Mshambuliaji wa timu ya Kenya, Anthony Kimani akimiliki mpira mbele ya beki wa timu ya Ethiopia, Abddulkrim Hassen yigemo wakati wa mchezo wa Cecafa Challenge uliochezwa katika Uwanja wa Nelson Mandela Jijini Kampala na Kenya kuibuka na ushindi wa 3-1 na kutinga robo fainali.

Shabiki wa timu ya Kenya akihamasisha kuishangilia timu yao wakati ilipocheza na timu ya Ethiopia katika mchezo wa michuano ya Cecafa Challenge uliofanyika katika Uwanja wa Nelson Mandela Jijini Kampala

No comments:

Post a Comment