Search This Blog

Saturday, October 13, 2012

PREVIEW: COASTAL UNION VS SIMBA - HIKI NDIO KIKOSI CHA COASTAL KILICHOTANGAZWA KWA AJILI YA KUMUUA MNYAMA

Coastal Union Fc Vs Simba Sc
Hakika ndio Habari ya iliopo Mjini kwa sasa. Mechi hii inayochezwa leo Jijini Tanga katika Uwanja wa Mkwakwani imeteka hisia kubwa za watu kwasababu Coastal union imepania mchezo huu kwa kutaka kuvunja rekodi ya Simba ambayo haijafungwa mchezo wowote mpaka sasa.


Timu zote 2 zimecheza michezo 6 huku Coastal ikiwa imejikusanyia points 9 nafasi ya 6 na Simba points 16 nafasi ya 1.
Mpaka sasa nimefanikiwa kupata kikosi cha kitachoanza cha timu ya Coastal na kipo kama ifuatavyo.

1.Chove (Gk)
2.Said Sued (C)
3.Juma Jabu
4.Jamali Macherenga
5.Kibacha
6.Jerry Santo
7.Soud
8.Razak Khalfan
9.Nsa job
10.Atupele Green
11.Kassim Salembe

Reserve:
1.Rajabu kaumbu (Gk)
2.Ismail suma
3.Abdul Banda
4.Lamelk
5.Mahundi
6.Aziz gilla
7.Daniel lyanga

Team coach
Hemed Morocco

No comments:

Post a Comment