Search This Blog

Wednesday, October 31, 2012

DUUUUH! TIMBWILITIMBWILI LA AZAM...KWELI SAKO LA NYANI HADI NGEDERE HAPONI.....HATARIIIII!!!


Hii iwe fundisho kwa vilabu vya Tanzania.tabia mbaya ya viongozi yakufukuza makocho ovyo bila kuwapa muda..nimefarijika azam kumrejesha kocha wao kwan imetoa fundisho ya maamuz ya kipuuz na uwongo wa viongoz wetu.
Mwanzo Tuliambiwa amechoka kukaa Tz anaitaji kurud kwao akaomba kuvunja mkataba,ukwel apo uko wapi kama c uongo na kutaka mafanikio ya haraka.pia Nimefaijika coz ktk mech ya simba na azam tulibisha
Na baadh ya watu niliwaambia azam ya stewart ilikuwa inacheZa mpira mzur na wakufundshwa tofaut na azam niliyoiona cku iyo.azam wameanza kuiga siasa za simba na yanga.kama wataendelea hvi yale mapinduz ambayo Tulitegemea wangeyaleta czan kama tutayaona.kazi kwenu Edo na coast yako
 
NAKUCHANA LIVE PATRICK TORES KAHEMELE(PK)
Sasa hivi ile tabia yako ya kuchonga mmambo yakitokea kwenye clubs nyingine iache
1.Azam hamna jipya ni longolongo tupu,najua issue ya kumfukuza coach ingefanywa na clubs nyingine ungechonga sana hawajui kuendesha timu,wanafukuza kocha katikati ya ligi sasa swali iweje nyie mnaojiita mnajua kuongoza club kisasa ndio mnafanya madudu haya? Au ndio ule usemi kuwa nyani haoni...................?
2.Je unakubali kuwa kuwa hamna jipya na mmejaa longolongo? Sababu ya kumtimuwa Stewart Hall na Kumleta Boris Bunjak mliudanganya umma wa wapenda soccer kuwa Hall hana jipya je leo anamrudisha anajipya au alipoondoka tu alienda kusoma kuongeza ujuzi ambao umewashawishi mumrudishe?
3.Mtafukuza makocha mara ngapi kila mkifungwa na Simba na Yanga?
...
4.PK JIPANGENI HAMNA JIPYA NA ACHA KUONGELEA MAPUNGUFU YA JIRANI WAKATI KWAKO NDIO KUNAMAPUNGUFU ZAIDI.

HUU NI MTANZAMO TU AZAM FC MSIJENGE CHUKI NAMI
 
 
 
WellCome Back Home....
We Are All Together!
WellCome Back Home....
We Are All Together!
 
 
Nilikuwa naongea na Kupingana na Wachambuzi Njaa wa Soka hapa Tz Kama Kina Shaffih na Wezake Eti Azam wamekuja Kuleta Changamoto kwenye Soka. Je haya tunayojionea ndio Changamoto Timu ikifungwa haikosi sababu tena wanatoa sababu haziandani na soka nilikuwa nasema Azam Msimu huu hata kwenye nafasi Ya 4 hawatakuwepo na msimu utaofata wataungana na Villa pale timu ipo wachezaji wapo tatizo viongoz mapakacha na ndio watakayoipeleka Kuzim Azam Mfano huyu PK hajui chochote Kwenye soka amekuwa mtu wakutoa lawama za ajabu
 
Msafiri Ally Braza Gossy Bon tatizo la timu yenu linaanzia kwa viongozi wenu waliowengi wanafiki kufungwa na simba hamkuanza juzi ila kwa kuwa wenye timu wanalidhika mkifungwa na simba hilo sio tatizo mngefungwa na yanga sio kocha tu na baadhi ya wachezaji wangenyooshewa vidole. wiki hii jmosi mnacheza na yanga utaona na utasikia kila kiongozi hatakuwa makini kuanzia kuamasisha kwa kila njia hili kuakikisha mnashinda sasa nguvu hiyo mngeitumia kila mechi mngekuwa wapi jifunzeni pallson ya arusha na ashanti ziko wapi na kisa kilikuwa ni nini mpaka zikashuka daraja ushwaiba wenu na simba utawagharimu sana na mkiendelea hivi sitashangaa mkishuka daraja pamoja na kuwa kila kitu
 
James Samuel Shafih dauda ndio amemuharib pk,mwanzo nilikuwa n mkubal sana sikujua kuwa n mchambuz w kucopy n kupest kw isue z ulaya bongo n unaz umemjaa angalia blog yake n unaz mtupu kila simba wakcheza match centre ipo ila yanga mpaka wafungwe ndio utakuta habar zao n pk nae kaiga haya n timu yake match analyst w ukwel baada y rick bongo n edo,kw mbal leya co shafih ana k2 yule jamaa kakalia unaz 2..
 
Anatoly Nuno Kabezi .kwangu mm kosa ni mmliki wa Timu ya Azam..ambaye tunajua ni wakala anayetambulika na FIFA..lkn mpk sasa kashindwa kujua kocha gani anastahili katika timu yake..?..na ndio maana Azam mpk sasa hajauza mchezaji hata mmoja..@Ndeka Maganzi Kampuni Tata...@Mphamvu Daniel Donati...@Harrison Chadema Haroun...@Castor William
 
nimeongea na rais wa sofapaka sasa ivi anasema AZAM FC wamemuomba coach wao wazamani kwa kumwagukia na ku mpandishia mshahara mara mbili,naye anasema hakuna tatizo arudi tu kwenye club yake ya zamani.sasa nauliza ivi AZAM imeanzishwa juzi tu.lkn mizengwe kuzishinda simba na yanga why?
 
Nilipata kuandika makala moja Ndeeeefu yenye Title "Wapo wanaoamini Azam FC ni mkombozi wa Soka letu, Mimi si Mmoja wao" Nakubaliana kabisa na wahenga kuwa Hakuna marefu yasiyokuwa na Ncha, Kila lenye Mwanzo halikosi kuwa na Mwisho Lakini Azam FC mwisho wenu Umekuja kabla hata Hatujauona Mwanzo...... Sako la Nyani, Ngedere haponi, jamani wote wahamiaji wa Azam rudini Nyumbani kwenye Timu zetu za K'koo tukalete Mabadiriko, coz tukisema timu hizi Ngumu kuzibadirisha nani ataweza????

No comments:

Post a Comment