
Beki Taarifa nilizozipata hivi punde beki Shomari Kapombe na kiungo Kiggi Makassy wamepata majeraha ambayo yatawaweka nje kwa takribani siku kumi.
Kapombe anasumbuliwa na maumivu ya kifundo cha mguu ( ankle ) wakati Kiggi anasumbuliwa na goti.
Wachezaji wote wataukosa mchezo wa leo wa ligi kuu ya Vodacom dhidi ya Kagera Sugar.

No comments:
Post a Comment