
Kiungo wa Simba Mwinyi Kazimoto akikwaana na Markus Raphael wa JKT Oljoro katika mchezo waligi kuu uliofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam |
Mlinzi wa Simba Nasoro Masoud Cholo akigombea mpira na Salim Mbonde wa JKT Oljoro kwenye mchezo wa ligi kuu uliofanyika katika uwanaj wa Taifa jijini Dar es Salaam leo |
Mlinda mlango wa JKT Oljoro Shaibu Issa akikamata mpira mbele ya washambuliaji wa Simba imeshinda bao4-1 mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa taifa leo |
Mlinda mlango wa JKT Oljoro Shaibu Issa akikamata mpira mbele ya washambuliaji wa Simba.matokeo simba imeshinda bao4-1. Picha kwa hisani ya Fullshangweblog na mzukakamili-mzuka.blogspot.com |
No comments:
Post a Comment