Search This Blog

Saturday, September 22, 2012

LIVE MATCH CENTRE: YANGA 4 - 1 JKT - AZAM 1-0 MTIBWA

 Mpira umemalizika, Young Africans 4 - 1 JKT Ruvu
Cannavaro dkk 4
Didier dkk 31, 65
Msuva dkk 53



 FULL TIME: Kutoka Chamazi Azam 1 - Mtibwa 0

Dakika ya 74, Young Africans inafanya mabadiliko, anaingia Jeryson Tegete anatoka Didier Kavumbagu

 DK70: Didier Kavumbagu anaipatia Young Africans bao la nne


 Dakika ya 69, Credo Mwaipopo anaipatia JKT Ruvu bao la kwanza
Kutoka Chamazi mchezaji wa Mtibwa Salvatory Ntebe anapigwa kadi nyekundu huku Azam wakiongoza 1-0

Dakika ya 60, Young Africans 3 - 0 JKT Ruvu

Dakika ya 57, Young Africans inafanya mabadiliko, anaingia Shamte Ally anatoka Nizar Khalfan

Dakika ya 53, Saimon Msuva anaipatia Young Africans bao la tatu
Young Africans 3 - JKT Ruvu


Kipindi cha pili cha mchezo kimeanza, Young Africans 2 - 0 JKT Ruvu
Mpira ni mapumziko, Young Africans 2 - 0 JKT Ruvu
Cannavaro dkk 4
Didier dkk 31

Wakati huo huo kwenye dimba la Chamazi Kipre Tchetche anaipatia Azam bao la kuongoza katika dakika ya 35.

DK 31: Didier Kavumbagu anaipatia Young Africans bao la pili

 DK 30: Yanga bado wanaongoza katika mechi hii inayochezwa kwa timu kucheza kwa nidhamu ya hali juu kwenye safu za ulinzi. Yanga 1- 0 JKT.

DK15: Yanga 1 - 0 JKT RUVU

DK 4: Nadir Haroub Cannavaro anaipatia Yanga bao la kuongoza

1.Yaw Berko
2.Mbuyu Twite
3.Oscar Joshua
4.Kelvin Yondani
5.Nadir Haroub 'Cannavaro'
6.Athuman Idd 'Chuji'
7.Nizar Khalfan
8.Haruna Niyonzima
9.Didier Kavumbagu

10.Hamis Kiiza
11.Saimon Msuva

Subs:
1.Ally Mustapha 'Barthez'
2.Godfrey Taita
3.Stephano Mwasika
4.Ladisalus Mbogo
5.Rashid Gumbo
6.Shamte Ally
7.Jeryson Tegete

No comments:

Post a Comment