Search This Blog

Saturday, September 29, 2012

LIVE MATCH CENTRE: SIMBA 2 - 1 TANZANIA PRISONS - FULL TIME

Amir Mafta anakula kadi nyekundu hapa kwa maana hiyo ataukosa mchezo dhidi ya Yanga.

DK 75: Simba bado wanaongoza katika kipindi hiki cha pili.

DK 68: Simba 2 - 1 Tanzania Prisons

DK 55: Mrisho anaingia kwenye box na kupiga shuti kali linalompita kipa wa Prisons na kutinga nyavuni na kuandikia Simba bao la pili.

Kipindi cha pili kimeanza kwa kasi sana, Mrisho Ngassa anaingia vizuri kwenye winga ya kulia, anapiga krosi safi na Sunzu anakosa bao la wazi.

Mpira ni mapumziko - Simba 1 - 1 Prisons 

DK 45+1: Mrisho Ngassa anawapiga vyenga mabeki wa Prisons na kuachia shuti kali linalotoka nje kwa sentimita chache.

DK 45: Felix Sunzu anaipatia Simba bao la kusawazisha.

DK 35: Edward Christopher anaingia vizuri kwenye lango la Prisons, lakini anaingiliana na Sunzu na mabeki wa Prisons wanaokoa mpira langoni mwao.

DK 30: Simba wanalishambulia sana lango la Prisons wakitafuta bao la kusawazisha.

DK 20: Simba 0 - 1 Tanzania Prisons
SIMBA vs TANZANIA PRISONS LINE UPS
Timu za Simba na Tanzania Prisons zinapambana jioni hii Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 11 kamili jioni. Tayari makocha wa timu zote mbili Jumanne Charles (Tanzania Prisons) na Circo Milovan (Simba) wameshataja vikosi vyao.
Simba:                                                  Tanzania Prisons:
01.Juma Kaseja (c)                            18.David Abdallah
02.Nassoro Masoud                             03.Aziz Sibo
17.Amir Maftah                                  05.Laurian Mpalile
15.Shomari Kapombe                          16.Lugano Mwangama (c)
24.Juma Nyoso                                   15.David Mwantika
14.Mwinyi Kazimoto                            13.Khalid Fupi
28.Amri Kiemba                                  07.Misango Magai
08.Ramadhan Chombo                         12.Fred Chudu
19.Edward Christopher                        14.Elias Maguri
10.Felix Sunzu                                     17.Peter Michael
16.Mrisho Ngasa                                   19.John Matei
Wachezaji wa akiba;
22.Wilbert Mweta                                 01.Daudi Mwasongwe
23.Paul Ngalema                                   04.Jumanne Elfadhili
20.Jonas Mkude                                     09.Sino Augustino
12.Salim Kinje                                       22.Julius Kwaga
04.Komanbil Keita                                 08.Henry Mwalugala
13.Daniel Akuffor                                   11.Hamisi Ally
05.Pascal Ochieng                                  23.Jeremiah Juma
Refa: Paul Soleji (Mwanza)
Mwamuzi Msaidizi 1: Jesse Erasmo (Morogoro)
Mwamuzi Msaidizi 2: Mwarabu Mumba (Morogoro)
Mwamuzi wa Akiba: Israel Nkongo (Dar es Salaam  
 

No comments:

Post a Comment