Search This Blog

Thursday, August 2, 2012

THIERRY HENRY, ANELKA, NASRI, RIBERRY, MESUT OZIL, NA WACHEZAJI WENGINE MAARUFU WALIO NDANI YA MFUNGO WA MWEZI WA RAMADHANI


Nuri Sahin - Mchezaji wa Real Madrid na Uturuki

Bilali Ahmed maarufu kama Frank Ribery akiwa na mchezaji Hamit Altintop walipoenda Makka

Samir Nasri na utukutu wake wote mwezi huu yupo ndani ya mfungo

Karim Benzema

Hatem Ben Arfa - Kiungo wa Newcastle na Ufaransa nae nafunga mwezi mtukufu wa Ramadhani

Mesut Ozil - Raia wa Ujerumani mwenye asili ya Uturuki

Samir Khedira - Raia wa Ujerumani mwenye asili ya Tunisia.
Abdulsalaam Bilal maarufu kama Nicolas Anelka akiwa na mashekhe alipoenda hijja huko Makka

Bilal Abidal - maarufu kama Eric Abidal akisoma Quran akiwa kwenye ndege wakati akiwa na timu ya taifa ya Ufaransa mwaka jana.

Anaitwa Ibrahim Affelay mchezaji wa kimataifa wa Barcelona na Uholanzi


HII NI VIDEO INAYOMUONYESHA THIERRY HENRY AKITHIBITISHA KUBADILI DINI NA KUWA MUISLAM AKIFUATA MFANO WA RAFIKI ZAKE ANELKA, NA ABIDAL.

14 comments:

  1. hi! blogger kiukweli sijakuelewa nia ya wewe kupublish hii habari.kimtazamo wangu naona kama unaudini ndani, nahii kitu inaanza kuota mizizi katika jamii yetu.ukiwa kama chombo cha habari jitahidi sana kutokujenga makundi kwa wale unao wapasha habari

    ReplyDelete
  2. Post yako haina maana yoyote katika michezo..udini umekukaa tuu badala ya kuangalia maisha yako yalivyo duni na jinsi gani ya kupata mafanikio ya kimaisha unafikiria upuuzi huu...Stupid journalist

    ReplyDelete
  3. Sioni udini hapo kwan tatizo likowap

    ReplyDelete
  4. Nyie ndiyo wadini yaani Rooney alivyosema atakuwa pastor ilikuwa sawa hawa wameoneshwa wanafunga mnadai udini! Mjiamini na imani zenu kila mtu anachagua anapoona sawa hivyo wana michezo wana dini zao sasa wakioneshwa wana abudu dini zao mnadai udini....acheni hizo

    ReplyDelete
  5. katika post za kijinga ulishowahi kupost ni hiii, what is the essence of the post? ulikuwa unamaanisha nini au ulitaka kufikisha ujumbe upi? mbona unazunguka zunguka sanaaaaa kuwa straight kaka or whatever u call ru self? kufunga ama kutokufunga ni mtu mwenyewe hata kuwa muislamu au mkristo ni swala la mtu binafsi acha utoto weka post zenye maana. ukitoka kuwaandika hawa andika na wanaofunga kwaresma kama utaweza pia uje na kwa wale wasioamini kama kuna Mungu usiishie hapo. Acha upopolimpoo

    ReplyDelete
  6. Shafii unge post hao jamaa wamekuwa freemaons, ungeona comments za kukupongeza kibao, lkn kwa kuwa muslim imeshakuwa tatizo, cha kushangaza hadi wengine wanatoa matusi, sasa sijui kuandika habari inyohusu uislam ndio ujinga au! Kuweni fair jamani, jamaa wamesoma wakaelewa na kufuata haki, nyinyi tukaneni tu bila ya kutafuta ukweli, mtakuja kumbuka shuka kumekucha.

    ReplyDelete
  7. We shaffi acha utoto wewe..kwani kuna mtu alimzuia Mike Tyson kuwa mwislamu? au unafikiri hatujui hilo,kwa nini hujiamini? haya sasa hao watakusaidia nini
    wanakupa chakula? wamekujengea nyumba? wamekununulia gari? wanakusomeshea watoto wako? Unapata nini toka kwa hao?..nafikiri kichwa yako imejaa utoto

    ReplyDelete
  8. huyo Shafii ndo hajiamini na anataka kutuonyesha kuwa hao wachezaji ni waislamu kitu ambacho ni stupid, mtu kuwa Muislam au la Ni maamuzi binafsi hakuna waliowalazimisha ni wao wenyewe. Jiaminini na IMANI zenu sio lazima kuwaonyesha watu and then what for?? usisahau kuandika wasioamini pia (Atheist) JIAMININI SIO LAZIMA KUTANGAZIA WATU

    ReplyDelete
  9. Kama waislamu wenye mafanikio mbona wengi tu! Kwani hatujui kuwa wamiliki wa Man City ni waislamu? wapo wafanyabiashara wengi tuu wa kiislamu wenye kumiliki visima vya mafuta huko Saudi Arabia na wengine wanamiliki timu...kwani kuna mtu alimuuliza Shaffi kuwa hakuna wachezaji nyota wa Kiislamu?.
    Wengine hushabikia wachezaji bila kujali rangi,dini au kabila lake..Sisi huwapenda kwa kuwa ni wachezaji bora na hatuwapendei dini yao au rangi yao...Wote tunajua kuwa kuna Madoctors,Engineers,Scientists,Politicians,Football players,Boxers,Athletics n.k ambao ni waislamu...JIAMINI

    ReplyDelete
  10. Wanaopinga wote hao ujue ndo wale kinananihino ambao wanuumwa kuona habari hizo . Hii blog ya michezo na hao ni wana michezo. Na kwa uislam dini mfumo mzima wa maisha hauwezi kutofaitishwa na maisha .sasa kama nyie kina nanihino mna dini mbali na maisha mengine mbali ilo lenu msitake kutbalisha na sie kila mtu na upeo wake . Big up bin Dauda.

    ReplyDelete
  11. Hii migalalatia mm inaniuzi kweli.Aa nn tatizo hapo na Hii ni mwezi mtukufu.Basi ukipost wachezaj wanavyosherehekea x mas watasifu..stupid

    ReplyDelete
  12. Jamani ninini lakini? kwani hii blog c inahusiana na michezo na maisha ya kila siku ya wanamichezo? Mbona mnakosa uungwana kiasi hiki? wanavyoandikwa freemason ndio mnakua na kimbelembele, 2badilike jamani hizi ni habari za wanamichezo na zimeandikwa wakati wa mfungo wa ramadhani. kwani ikija kwaresma si ataandika pia kama nyuzi hizo zikiwepo. msilete udini kiasi hiki yaani inaonyesha wazi wazi ni jamiii ya wa2 fulani ndio wanaopinga hizi habari. Hebu kuweni Fair na muangalie kama hata andika katika mfungo wa kwaresma kama pia nyuzi husika zitzkuwepo.

    ReplyDelete
  13. keep it up brother,wewe pia ni binadamu ya unaimani yako,kwani ukiwa muandishi wa habari hupaswi kugusia hata kidogo dini?roho zanawauma kuona mtu kama anelka kuwa alhaji !!!!nashukuru kwa kutuhabarisha

    ReplyDelete