Search This Blog

Saturday, July 7, 2012

WABUNGE WA SIMBA WAWAKUNG'UTA WABUNGE WA YANGA MABAO 3-2 TAIFA LEO


Mbunge William Ngeleja akiingia dimbani kwenye mchezo wa leo uliofanyika kwenye dimba la taifa.

Benchi la wabunge wa Yanga.

...Kikosi cha Simba.
...Kikosi cha Yanga.


Wachezaji wa Yanga na Simba (Wabunge) wakiimba wimbo wa Taifa kabla ya mechi kuanza.
Mtanange baina ya wabunge hao ukiendelea.…

Wachezaji wa Yanga na Simba (Wabunge) wakiimba wimbo wa Taifa kabla ya mechi kuanza.
Mtanange baina ya wabunge hao ukiendelea.
Zitto Kabwe akitoa pasi.
PICHA ZOTE KWA NIABA YA GLOBAL PUBLISHER


No comments:

Post a Comment