Search This Blog

Saturday, June 23, 2012

UJERUMANI WAVUNJA REKODI: WAIFUNIKA SPAIN KWA KUSHINDA MECHI 15 MFULULIZO

Germany wameweka rekodi mpya ya kushinda mechi mfululizo kwenye soka la kimataifa kufuatia ushindi wao 4-2 dhidi ya Ugiriki kwenye robo fainali ya Euro 2012.

Ushindi wa jana dhidi ya mabingwa wa Euro 2004 ulikuwa wa 15 mfululizo kwa vijana wa Joachim Low, wakizivunja rekodi za kushinda mechi 14 mfululizo uliowekwa na Ufaransa, Uholanzi, na Spain.


HIVI NDIVYO WALIVYOWEZA KUVUNJA REKODI


Germany 3-2 Uruguay |
Hapa ndipo vijana wa Low walipoanzia katika kuelekea kuvunja rekodi kwa kushika nafasi ya tatu kwenye kombe la dunia 2010.
Belgium 0-1 Germany | Klose tena aliwatungua Ubelgiji


Germany 6-1 Azerbaijan | 'Podolski aliongoza mauaji haya.

Germany 3-0 Turkey | Ozil na mchezaji mwenzie wa Real Madrid wakiumana kwenye timu zao za Taifa na Ozil kuibuka mshindi.


Kazakhstan 0-3 Germany | Ushindi wao wa tano mfululizo ulikuwa dhidi ya Kazakhstan


Germany 4-0 Kazakhstan | Klose and Muller wote walifunga magoli mawili mawili.


Austria 1-2 Germany | Gomez alipofunga goli la ushindi kwenye dakika za majeruhi dhidi ya Austria.

Azerbaijan 1-3 Germany | Ozil akiwaumiza waarabu wa ulaya

Germany 6-2 Austria | Klose alpowaliza Austria kwenye ushindi wa goli 6-2

Turkey 1-3 Germany | Gotze alipowamaliza Uturuki


Germany 3-1 Belgium | Vinana wa Joachim Low walimaliza michuano ya kufuzu kwa ushindi wa goli 3-0 dhidi ya Ubelgiji.

Germany 1-0 Portugal | Gomez akiwatungua Portugal kwenye mechi ya ushindi ya kwanza ya kundi la kifo Euro 2012..
Netherlands 1-2 Germany | Mario Gomez akafunga foli mbili na kuwapa ushindi Ujerumani dhidi ya Wadachi


Denmark 1-2 Germany | Lars Bender aliwapa uongozi wa kundi la kifo

Germany 4-2 Greece | Lahm, Khedira, Klose & Reus walipovunja rekodi jana.

1 comment: