Search This Blog

Friday, June 15, 2012

SHOMARY KAPOMBE MWANAMICHEZO BORA WA MWAKA 2011


TUZO ZA TASWA ZILIVYOFANA USIKU HUU DIAMOND JUBILEE

Rais wa TFF, Leodegar Tenga wa pili kulia akiwa na Jellah Mtagwa kushoto kwake


Familia ya ndondi


Wadau wa ndondi
Tedi Mapunda kulia na bosi wake 


Eiphraim Mafuru kulia


Maswahiba wa siku nyingi, Shaaban Mkongwe kulia akiwa Waziri Mahadhi


Beki wa Mtibwa Salum Swedi 'Kussi'


Kaburu kulia akikabidhi tuzo


Daud Salum 'Bruce Lee' kulia akikabidhi tuzo


Athumani Hamisi akikabidhi tuzo


Asha Baraka akikabidhi tuzo


Mafuru akikabidhi tuzo


Ridhiwani Kikwete kulia akiwa na Benny Kisaka kushoto, cheko la maana


Dioniz Malinzi kushoto akikabidhi tuzo


Kapombe akipokea tuzo ya Mwanamichezo Bora Chipukizi kutoka kwa Salim Amir


Mzee Matumla akimkabidhi Kaburu tuzo ya Emmanuel Okwi


Mwenyekiti wa RT, akimkabidhi tuzo Mwanahamisi Gaucho


Aggrey Morris kushoto akipokea tuzo ya Mwanasoka Bora wa mwaka 


Ally Choky akikabidhi tuzo


Mafuru akipakia msosi


Kim Poulsen kulia akiwa na nani sijui


Jamal Rwambow kulia na Kaburu wakati wa maakuli


Serengeti Beer inapokolea, mambo huwa hivi...


Mzee El Maamry akimkabidhi tuzo George Tarimo


Mzee Mwinyi akimkabidhi tuzo Adolph Rishard


Mzee Mwinyi akimkabidhi tuzo Peter Tino


Mzee Mwinyi akikabidhi tuzo


Waziri Mahadhi akimpokelea tuzo marehemu baba yake, Omar Mahadhi


Kaburu akimsaidia Kapombe kupokea tuzo ya Mwanamichezo Bora wa mwaka 2011 


Juma Pinto akikabidhi tuzo


Zena Chande na swahiba zake


Shaffih Dauda kulia, Amour Hassan na Michael Maluwe


Tullo Chambo na bosi wake


Akina nani sijui hawa


BIN ZUBEIRY kulia na Shaffih Dauda


MAJINA YA WASHINDI

1: OLIMPIKI MAALUM-Zanzibar
Ahmada Bakar:

2:OLIMPIKI MAALUM-TANZANIA BARA
HERITH SULEIMAN

3: PARALIMPIKI: WANAUME
ZAHARANI MWENEMTI

4:PARALIMPIKI: WANAWAKE
FAUDHIA CHAFUMBWE

5: KIKAPU: WANAUME
GEORGE TARIMO:

6:  KIKAPU WANAWAKE
EVODIA  KAZINJA:-

7: NETIBOLI:
LILIAN SYLIDION

8:  GOFU WANAWAKE:
MADINA IDDI

9: GOFU WANAUME:
Frank Roman:

10: NGUMI ZA RIDHAA
SULEIMAN SALUM KIDUNDA

12:  WAOGELEAJI MWANAMKE
MAGDALENA MOSHI     

WAOGELEAJI MWANAUME
AMMAAR GHADIYALI  -  MEN

13:JUDO...
AZZAN HUSSEIN KHAMIS (ZANZIBAR)
14:JUDO BARA: . MBAROUK SELEMANI

14: WAVU WANAWAKE
THERESIA ABWAO  

15: WAVU WANAUME
MBWANA ALLY

16: NGUMI ZA KULIPWA
 Nasibu Ramadhan

17. TENISI:Wanaume
WAZIRI SALUMU

18. TENISI WANAWAKE: 
REHEMA ATHUMANI

20: BAISKELI (Wanawake)
Sophia Hussein
-
21: BAISKELI WANAUME
Richard Laizer

22: WACHEZAJI WA TANZANIA WANAOCHEZA NJE
Mbwana Samatta-

23: MCHEZAJI BORA CHIPUKIZI
SHOMARI KAPOMBE- (soka) SIMBA

24: MCHEZAJI WA NJE ANAYECHEZA TANZANIA
Emmanuel Okwi-Simba

25: SOKA (WANAWAKE)
MWANAHAMISI OMARI

26: SOKA WANAUME
Aggrey Morris-Azam:

27: RIADHA
WANAWAKE
Zakia Mrisho:

28: RIADHA WANAUME
Alphonce Felix:

29: MIKONO WANAUME
Kazad Monga-Magereza Kiwira
Faraji Shaibu  Khamis-Nyuki Zbar

30:  MIKONO WANAWAKE
Zakia Seif-Ngome Dar

31: Kriketi WANAWAKE
Miss. Monika Pascal

32; KRIKETI WANAUME
Mr. Kassimu Nassoro

33: TUZO YA HESHIMA:
KIKOSI KILICHOFUZU FAINALI ZA MATAIFA YA AFRIKA 1980

34:MWANAMICHEZO BORA WA TANZANIA MWAKA 2011-
SHOMARI KAPOMBE
 
 

No comments:

Post a Comment